Habari zenu jamani. Naomba mnisaidie kujua KIPIMO cha maumivu kinaitwaje kitaalamu? Maana inasemekana kuna tofauti ya maumivu mtu akipigwa kwa hasira na akipigwa kawaida.
Asanteni.
TOFAUTI KATI YA URU WA UKALDAYO NA URU WA UCHAGANI
Kisha akamwambia, Mimi ni Bwana, niliyekuleta kutoka Uru wa Wakaldayo nikupe nchi hii ili uirithi.
Mwanzo 15 : 7
Najua na ninafahamu kila jina la mahali lina chimbuko na maana kubwa.
Kuna mambo mengi yanashangaza kuhusu watu wa kaskazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.