Search results

  1. H

    Kuzuia baadhi ya mavazi CBE ni kinyume na haki za binadamu

    Upo waraka wa mavazi uliotolewa na serikali nenda kwenye webpage ya utumishi search utauona huko.
  2. H

    Unafiki wa Zitto Kabwe na suala la Posho - Lema

    Huu ndiyo mwisho wa chadema?
  3. H

    Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

    Mhe. Zitto tunaomba uwapeleke mahakamani hao wazushi wakaeleze vizuri huko huo uzushi wao
  4. H

    Radio Imaan: Kikwete anajipendekeza kwa wakristu!

    Sidhani kama kuna mtu inaunga mkono juu ya kijana huyo wa kikristo kukojolea quran! Ili kinachofanya nishindwe kuelewa ni uhusiano wa kuchoma makanisa na kukojolea quran! Kama kitendo hicho angekifanya Mtu mzima mwenye akili ya ki-utu-uzima hapo tungeelewa. Hata hivyo, bado tendo kama hilo...
  5. H

    Esther Bulaya VS Esther Wassira

    Wale wenye nafasi ya kuonana naye ana kwa ana (huyo Esther Wassira) wamshauri ili aanze maandalizi, hata ikiwezekane ashiriki kwenye M4C na kupewa nafasi ya kushambulia jukwaa ili aweze kujulikana zaidi. Mwenzake Bulaya licha kujulikana kutokana na nafasi yake ya Ubunge, pia alishaanza...
  6. H

    Maige: CCM itakufa

    CDM wasiahangaike sana kuchukua magamba ya CCM, wajitahidi kufanya recruitment ya vijana wasiokuwa na unajisi wa magamba kutoka kwenye vyuo mbalimbali. Itakuwa vigumu sana kuja kuwasafisha hawa mwaka 2015, magamba yanaweza kuja kugeuza kibao kuwa wao waliwafukuza ndani ya chama chao kwa kuwaona...
  7. H

    Watanganyika watakiwa kuondoka Zanzibar!

    Sioni hasara yoyote kama Muungano ukivunjika, hawa jama wz wanainyonya Tanganyika. Tunawabembeleza wa nini hawa? Binafsi sioni faida yoyote ya kuwabeba hawa jamaa, ni wa shari na wabaguzi wa dini kwa kutumia mwamvuri wa uisilam!!!!
  8. H

    M4c - vita bado inaendelea - lema aichakaza chato ni jimbo la magufuli

    Wataendaji kwenye jimbo la Shibuda ambalo tayari liko mikononi mwa CDM pamoja na kauli zake tata? wanakwenda kwenye maeneo ambayo bado yako chini ya chama tawala!!!
  9. H

    CHADEMA kusambaratika ndani ya mwaka mmoja ujao - Wassira

    Inawezekana wameshapenyeza watu wao kwa ajili ya kusambaratisha CDM, hivyo maelezo yake yanatakiwa kuchukuliwa uzito fulani, CDM wanatakiwa kuwa makini hasa katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na wimbi kubwa sana la wanachama wa kile chama tawala kuhamia CDM! Tusiipuuze hiyo kauli yake...
  10. H

    Lema: Lowassa, Sitta na Mwakyembe kuhamia CHADEMA

    Tafadhari weka majina hayo hadharani
Back
Top Bottom