uluba unauweza, majina kung'ang'aniza
nasaha zitafakari, sihitaji chombeza
kwanza timiza lengo, bila wakati poteza
mlenga bila malengo, huwezaje kutimiza?
Dj becks zimepanda kilivyo na hisia zangu zinaniambia old school taaarabu ndio itakosha roho yangu, naomba "Nahodha" (ni bi shakila huyu au?) tafadhali
mzee fungulia mbwa, fanya hii iwe session ya request from JF..... ni wazo tuu.
wacha mie niendelee mbaka wengine watakapo join......
Nipandishie krank ya chid benzino
my bad! i mess u the flow already.
hili file "Kagoda Agriculture Ltd 07_Page_39.jpg" halikutakiwa hapo. badala yake lilitakiwa la "Kagoda Agriculture Ltd 07_Page_7.jpg". hivyo naliweka hapa
ok, nauumwaga hapa wote, tutavumiliana utakuja vipande vipande.
mwanakijiji huu mziki kuna sehemu una scratch (page zinajirudia rudia), hivyo ntafanza marekebisho kwa hilo, ikitokea nimeruka kitu, tafadhali nijulishe nirekebishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.