Naomba kuuliza,
baada ya kuondoka kwenye eneo la kupiga kura kwa mujibu wa sheria, ni utaratibu gani utakuwepo wa mimi mpiga kura kufahamu matokeo ya wagombea?
Wakuu tupige kura hapa, kuonesha kuwa, kura tutazilinda kwa kufuata sheria.
Hatutaogopa washawasha, wala risasi za moto, damu itakayomwagika itaendelea kuwalilia wamwagaji maana mtaimwaga pasipo haki, hamtawamaliza Watanzania, Wataendelea kuwepo.
Hii ni nchi yetu sote.
Bonyeza like kulaani na...
Ningalikuwa mimi ni wewe, ningeomba ITV waende kwenye nyumba ya Mkuu wa majeshi ili watanzania wasikie kauli ya Mke, au watoto wake.
wewe ni kaka yake sawa kabisa tunakubali, ila kauli yako inazidi kuongeza sintofahamu kubwa zaidi kuliko ilivyokuwa.
Na yule sijui mke wako , anauliza kuwa "...
huyo BADO MMOJA anajifanya yeye anajua sana kuhusu CDF, eti tukae kimya.
Tukiuliza kuna shida gani? eti kwanini usifuatilie toka zamani? maswali ya kijinga sana, jua kila jambo na wakati wake, na wakati umefika lazima tujue alipo, mtatisha wangapi?...
Tutajua tu na utaona kama hatutojua, na...
Acheni ujinga, hata mtoto wa chekechea anaona jinsi ela ilivyoshuka thamani, si bora uwe na pato la elfu kumi lakini lina nunua mahitaji muhimu kuliko kuwa na milioni isiyokidhi mahitaji.
unashangilia neno trilioni unaona nyingi sana!!..mbona hazifanyi kitu cha maana.mbona deni la Taifa...
Acha woga, Tunahitaji kujua aliko? Mkuu wa Majeshi, sidhani kama ni dhambi kuomba kujua aliko,
na kama watanzania tuna wasiwasi, tunaomba watoe wasiwasi huo kwa kuonesha ukweli aliko na sio maneno.
na ikiwa kuna uwongo wowote wa kimaelezo, watoa maelezo mtakuwa mmepotezea sifa mamlaka...
Mkuu wa Majeshi yupo wapi?...Tutaendelea kumuulizia mpaka tujue alipo...kama unajua tunaomba utusaidie kufahamu,
hii nchi hata mki...ua ...hamtamaliza kila mtu, Watakuwepo watakao endelea kudai haki. Hivyo ndivyo Mungu aliumba Binadamu.
Tunataka Mabadiliko na Tunaungana na mtu yeyote anayetaka mabadiliko, Hata Lowassa akibadilika kwa mtindo wa gia za angani, wana mabadiliko tutasononeka kumpoteza ila hatutobadilika.
Hilo litambulike kwa viongozi wote na vyama vyote.
1.Katiba ya wanachi ni msingi wa kuliongoza taifa kuelekea kwenye maendeleo, ccm walizusha propaganda kuwa katiba pendekezi inataka kuuvunja muungano, ili kuwalaghai ninyi watu wa usalama ili mfikiri katiba pendekezi ni hatari kwa Taifa.Ukweli ni kwamba hoja ilikuwa sio muungano, ila vipengele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.