Habari.
Tangazo la usaili utakao fanyika mikoani na Dar es salaam kwa wataalam wa mifugo, uvuvi, kilimo na madereva baadhi ya kada wameandika hakuna mchucho.
Je wana maanisha ni usaili/ interview ya namna gani huo/hiyo?
Asante.
Habari yenu wana Jf? Nashindwa kufuatilia bunge kutokana na mahali nilipo lakini nimepewa taarifa kuwa wizara ya kilimo imeisha soma makadirio ya matumizi(budget) 2013/2014 na imepitishwa na bunge.Je,wamezungumzaje kuhusu ajira za walio hitimu mafunzo astashahada na stashahada fani za kilimo na...
Habari jamani!
Naomba kuuliza kuhusu ajira kwa tulio hitimu mwaka jana kwenye vyuo vya kati(diploma na certificate-fani za mifugo na kilimo) za wizara tajwa kwenye kichwa cha habari. Kwa yoyote mwenye taarifa naomba anijuze kinachoendelea. Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.