mtu anaweza kunyang'anywa uraia kama alipata uraia kwa kuomba na siyo kwa kuzaliwa.Uraia wa kuzaliwa[Citizenship by birth]haiwezi kunyang'anywa na mtu yeyote hata Rais wa nchi.
siyo mara ya kwanza Tanzania kuwa na meli katika ziwa Nyasa,zilikuwepo siku nyingi na zilitumika kusafirisha abiria na mizigo kati ya nchi ya Malawi na Tanzania.
Njaa yake haikuanza leo,tokea mwaka 1991 alipokuwa anafundisha somo la siasa pale Zanaki S S jioni akiwa amechoka sana yaani sakala.Ungeona soli ya viatu vyake wakati huo jinsi ilivyo kuwa kwa kutembea muda mrefu kwa mguu na jinsi alivyo kuwa anatukana serikali kwa kutokuleta maendeleo kwa...
Ndugu usichanganye mambo,hao diaspora siyo raia wa Tanzania hata kidogo waliisha ukana uraia wa Tanzania kwa kiapo,labda kwa kuwaheshimu tunaweza kuwaita,mf raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania.Usidanganyike hawana uzalendo hao,elewa maana ya kukana mf kumkana mama yako,kukana dini yako nk
Wewe ni mjinga katika masuala ya uraia,omba uelimishwe.Raia wa kuzaliwa,wakurithi na tajinisi wote ni raia wa Tz. Ili mtu apate uraia wa TZ (naturarized) ni lazima aukane uraia wa nchi yake na ale kiapo cha utii kwa serikali ya TZ na atimize masharti mengine kama kuishi nchini TZ kwa kipindi...
Ni kweli ni mawazo yako maana ni finyu mno.Afadhali wafukuzwe huko ili waje kuishi kwenye ardhi ya babu zao kuliko ardhi hiyo kuchukuliwa na wagen,kumbuka TZ hatuna uhaba wa ardhi kama majiran zetu.Nakushauri utangulize uzalendo kwanza,inaonesha Operesheni KIMBUNGA imekuudhi sana.Kama mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.