kwa mara nyingine tena jana alhamis tarehe 31 July 2014 TAKUKURU wamempandisha kizimbani mkuu wa chuo cha uhasibu arusha (IAA) kwa matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mamilion ya pesa.
KOSA LA KWANZA
kuingia mkataba wa matibabu kwa wafanyakaz wa chuo hicho na hospital...
nimesikitishwa na kitendo cha NECTA cha kutotumia majina ya wanafunzi badala yake wametumia namba. kwa jinsi matokeo yalivyomabaya wanafunzi wengi watadanganya namba zao au watakuwa wagumu kutoa namba zao sahihi. au ni kwa sababu ya MWANAISHA aliyemaliza mwaka jana ikawa gumzo????
tafadhali pitia makala hii ya ufisadi thidi ya mkuu wa chuo cha uhasibu arusha kama ilivyorepotiwa na Raia Mwema tarehe 16 january. hivi huyu profesa Monyo si ndo yule aligombea kura za maoni na Lameck kule Rorya akashindwa??
du kweli serikali imeharibika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.