kwa mara nyingine tena jana alhamis tarehe 31 July 2014 TAKUKURU wamempandisha kizimbani mkuu wa chuo cha uhasibu arusha (IAA) kwa matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya mamilion ya pesa.
KOSA LA KWANZA
kuingia mkataba wa matibabu kwa wafanyakaz wa chuo hicho na hospital...
Kuna mwingine pia yupo chuo cha uhasibu arusha anajiita eti profesa monyo nae uprofesa wa magumashi.ameaminiwa mpaka akapewa ukuu wa chuo.alipewA uprofesa na bodi ya chuo akiwa na masters tu.baadae alifanya phd ya online NACTE wakaikataa na uprofesa wakamvua badae akawahonga alipopata ukuu wa...
nimesikitishwa na kitendo cha NECTA cha kutotumia majina ya wanafunzi badala yake wametumia namba. kwa jinsi matokeo yalivyomabaya wanafunzi wengi watadanganya namba zao au watakuwa wagumu kutoa namba zao sahihi. au ni kwa sababu ya MWANAISHA aliyemaliza mwaka jana ikawa gumzo????
kushuka kitaaluma na ufisadi vinahusiana nini???toa hoja sio kuongea tu bila kujua unaongea nini. katika kipindi chake ameshafukuza wafanyakazi zaidi ya 10 bila makosa ya msingi. tena anadeal na wafanyakazi wadogo kama walinzi. ili alete walinzi ndugu zake ambao hawawezi kupata kazi zingine kwa...
tafadhali pitia makala hii ya ufisadi thidi ya mkuu wa chuo cha uhasibu arusha kama ilivyorepotiwa na Raia Mwema tarehe 16 january. hivi huyu profesa Monyo si ndo yule aligombea kura za maoni na Lameck kule Rorya akashindwa??
du kweli serikali imeharibika...
big up kwa taarifa, hizo zilikuwa mbinu za mwigulu kama campain manager wa CCM. na ndio maana CCM wakamuamini na mumleta tena arumeru mashariki kama campein manager na akashindwa na sasa hivi hawawezi kutumia tena kwani mbinu zake zimeshafahamika kama zile za juzi iramba kwenye jimbo lake kwa...
baada ya kuona kukataa mambo ya msingi yasijadiliwe kwa kisingizio kuwa yapo mahakamani sasa wameibuka na kitu kipya cha kutofuata kanuni za bunge.naibu spika kachemsha sana kukataa kuwa werema hajasema kuwa kuwa na nywele sio kuwa na uwezo wa kufikiri, dhambi hii itamuandama mpaka mwisho wa...
kwa kifupi naibu spika kachemsha kwa kukataa hoja ya lissu kwa ksisingizio kuwa amekosea kaununi kuwa hakutoa hoka.this is nonsense kwani hata kama amekosea kanuni angeweza kutumia common sense wakajadili jambo hili la msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.