Search results

  1. F

    Kufuatia mvua zinazoendelea nimegunduwa tiles zinaingiza maji, nini tatizo?

    Tile haziingizi maji. Wewe ulitegemea zifanye kazi ya waterproofing ambayo sio kazi yake. Hayo maji ni dalili kwenye sakafu ya chini/ zege kuna ufa na unapitisha maji kutoka kwenye udongo. Undoa tiles zehemu husika ( kumbuka kuwa ufa unaweza kuwa mbali kidogo lakini maji yanapita sehemu ambayo...
  2. F

    CHADEMA mnavyokumbatia watu wanaotukana mtandaoni inawafanya muonekane chama cha kihuni

    Mkuu mmoja amesema hadharani mbele ya Mwenyekiti wa CCM kuwa kuna mawaziri wanaowalipa hao wanaotukans viongozi. Kuna waziri ambae ni mwanachama wa Chadema? Amandla...
  3. F

    Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport

    Sio wazo baya mradi tu wazanzibari nao waingie bara kwa hati za kusafiria. Nao wapewe muda wa kuishi bara kulingana na kibali chao cha kuingia nchi nyingine ya bara. Hii ni kwa sababu ardhi imekwisha Bara. Nchi iliyokuwa na watu hawafiki milioni 10 wakati wa Muungano sasa hivi tunanusa milioni...
  4. F

    Mbowe akatae yeye kwanza kusifiwa ni Mwamba ndio atoe Ushauri kwa Rais Samia Kuwa akatae Sifa za Uwongo!

    L Mbowe kasifiwa lini kwa kutoa pesa za mradi akiwa kama kiongozi wa siasa? Mwamba ni jina la heshima kama ilivyo Mama. Wanachama wenzake wanamuona Mwamba kama ambavyo nyinyi mnamuona Rais kama mama yenu. Halina madhara yeyote. Haulazimiki kutumia majina yote mawili. Amandla...
  5. F

    Ushawai kufanya interview vibaya lakini Bado ukaitwa kazini

    Wenzako walifanya vibaya kuliko wewe. Swali ni kuwa je uliimudu hiyo kazi au ndio uliendelea kwa kubahatisha tu? Amandla...
  6. F

    Huenda mgogoro wa Kidiplomasia ukaanza kati ya Tanzania na Malawi baada ya uboreshaji wa Bandari ya Mbamba Bay kuanza

    Wapuuzi kweli kweli. Ila kule ni wachewa, sio wanyasa. Amandla...
  7. F

    Mtoto wangu ana baba wawili

    Huyo ni mtoto wako. Wewe mhudumie kikamilifu hata kama DNA itasema vingine. Baba ni yule aliyemlea na sio aliyetoa mbegu. Huyu mtoto atakupenda sana na anaweza akawa ndio mfariji wako wakati wa uzee wako. Kitanda hakizai haramu hata siku moja. Amandla...
  8. F

    TANZIA Singida: Watu tisa(9) wafariki, basi likigonga Lori

    Si mliisha ambiwa msirushe picha za aina hii? Hamuwatendei haki marehemu na majeruhi. Amandla...
  9. F

    Amos Makalla: Sisi tunatatua kero Kisayansi, hatupigi kelele

    Kama miaka sitini imepita lakini bado mnatatua kero za madawati, vyoo, umeme, dawa hospitalini, barabara, makazi bora n.k. basi hiyo inabidi mbadilishe hiyo sayansi. Amandla...
  10. F

    Serikali Yaanza Ufungaji Camera Magerezani

    Hizo kamera ni kwa ajili ya kuwaona wafungwa wanao toroka au watu wanaotaka kuvamia magereza? Mimi nadhani zingefungwa ndani ya magereza ili kuhakikisha usalama wa wafungwa na askari wanaowahudumia. Pamoja ni rahisi zaidi kuzuia utoro kabla haujatokea kuliko ukishatokea. Amandla...
  11. F

    BAVICHA na huyo askofu Mwanamapinduzi mna Uhakika Ujenzi wa Bwawa la Nyerere limetumia Upembuzi Yakinifu wa 1972? Ni kweli Maji yamefunguliwa?

    Asante Mkuu. Nimekuelewa lakini vinakera kwa kweli. Ndio maana mara moja moja ni vizuri kuviweka sawa kwa kuwakumbusha ingawa pengine wengine hatujasoma kama wao lakini kwa uelewa tumewapita. Kwa kweli ni educated fools. Sijakuona muda. Kwema lakini? Amandla...
  12. F

    BAVICHA na huyo askofu Mwanamapinduzi mna Uhakika Ujenzi wa Bwawa la Nyerere limetumia Upembuzi Yakinifu wa 1972? Ni kweli Maji yamefunguliwa?

    Ndio maana sipendi majadiliano na nyie watoto wa juzi. Umri wako unajionyesha kwa kutumia x badala ya s. Na ni Environmental Impact Assessment sio Empact Assessment. Ingekuwa kila kitu kina mitigation plan basi hamna mradi ambao ungezuiwa kwa sababu ya athari yake kwa mazingira. Msomi unataka...
  13. F

    BAVICHA na huyo askofu Mwanamapinduzi mna Uhakika Ujenzi wa Bwawa la Nyerere limetumia Upembuzi Yakinifu wa 1972? Ni kweli Maji yamefunguliwa?

    Ushahidi gani unaotaka? Picha ya Nyerere na waliomfuata wakisoma hiyo report? Ripoti ya Norad ilikabidhiwa kwa serikali ya Tanzania na hao wote walikuwa ndio viongozi wakuu wa nchi hiyo. The buck stops with them. Amandla...
  14. F

    BAVICHA na huyo askofu Mwanamapinduzi mna Uhakika Ujenzi wa Bwawa la Nyerere limetumia Upembuzi Yakinifu wa 1972? Ni kweli Maji yamefunguliwa?

    The Norwegian Stiegler’s Survey Shortly after Tanzania’s independence Norway had fallen prey to the elaborate writings and sweet words of President Nyerere and had selected the country as one of its main recipients of development aid. Despite having the policy of „self-reliance“ as official...
  15. F

    BAVICHA na huyo askofu Mwanamapinduzi mna Uhakika Ujenzi wa Bwawa la Nyerere limetumia Upembuzi Yakinifu wa 1972? Ni kweli Maji yamefunguliwa?

    EIA ilifanywa na wa Norway wakamkabidhi Mwalimu. Mwalimu alipoisoma akauweka pembeni mradi pamoja na kuwa alianzisha Rubada. Akaja Mwinyi akaisoma nae akaiweka pembeni. Akaja Mkapa. Akaisoma nae akaiweka pembeni. Akaja Kikwete. Akaisoma akaona heri tuwekeze kwenye gesi. Wote hao hawakujua kuwa...
  16. F

    SPECIAL THREAD: Ushauri, Mapendekezo kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Hivi kwa nini tunapenda kuiga kila kitu? MAGA ni ya Trump. Angetafuta slogan nyingine. Ikiwa ya kiswahili itapendeza zaidi. Amandla...
  17. F

    Zijue baadhi ya Sheria za Uchaguzi zilizosainiwa na Rais Samia zilizotokana na mpango unaosifiwa unaoitwa 4R

    Wale wakina dada 19 waliunga mkono sheria hizi? Ku abstain ni sawa na kuunga mkono. Je wabunge wa CUF na ACT-WAZALENDO walisemaje? Amandla...
  18. F

    Dotto Biteko: Tumezima mtambo wa bwawa la Mwl Nyerere

    Hata jangwani mvua huwa inanyesha mara moja moja. Hivi karibuni Libya ilikumbwa na mafuriko. Amandla...
  19. F

    Mke wangu hampendi mama yangu mzazi

    Kwa kuuliza anasumbuliwa vipi na kwa nini anasema libibi lina roho mbaya. Lazima kuna sababu. Ni kwa kumsikiliza tu ndio utajua tatizo wapi. Kama tatizo liko kwake atakuheshimu kwa kumsikiliza na kumtendea haki. Kama wazazi wako ndio wenye matatizo, atakuheshimu kwa vile atajua kuwa unamjali...
Back
Top Bottom