Kila kukicha denda linashuka thamani na heshima yake inapotea..........leo unakutana na m2 kwene lifti gorofa ya sita mkifika chini mnapeana denda,,,,,,,,,,Kama denda ni real love hapo real love iko wapi?real love inajengwa ndani ya dakika 5?
Ni wajibu wa kila mtanzania kuhoji na kutaka kujua mstakabali wa rasilimali za taifa lao.Katika kufuatilia hayo napata taabu kujua ni nini nia yetu hasa katika hili.
1.TATIZO NI UWAZIRI AU UBADHIRIFU?
2.TATIZO NI UTAJIRI WA MTU AU NI JINSI ALIVYOUPATA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.