Acha kumpa mwenzio ushauri wa kijinga.Masharti yoote yameandikwa kwenye tiketi, tatizo lenu huwa hamsomi hizo sharia za Fastjet.Mbona huwa hamlalamiki mnapolipa elfu hamsini kwa fast jet kutoka Mwanza kwenda dar au vinginevyo.Nafuu hugharimu bana.Wabongo tujali muda, tuache kulalamika.Woote...
Acha lawama za kijinga! kuchelewa ni kuchelewa tu.Kwa nini usiprint mapema kuepuka usumbufu? woote wanao laumu Fastjet ni wale ambao wana mambo ya kiswahili, hawajali muda.Ndege sio basi bana, ukichelewa dk 1 umechelewa.Big up fast jet kwa kutia displine watu kama nyie.Fuata na jali muda, acha...
Nashukuru kwa comments zako ila mimi sikuwa kama hao wanaume unao sema wewe hapo juu.Mimi nilishataka hadi kuzaa nae ila yeye akasema anahitaji kusoma zaidi japo kuwa sasa hivi yupo kazini.Nilikuwa na full committment kwake kiasi kwamba nilifikia hatua ya kwenda kwa wazazi wake(baba yake tu ndio...
Kuna msichana nilimpenda sana tena sana tu.
Nimekuwa na uhusiano nae wa karibu kwa takribani miezi 6 sasa.
Lakini kabla ya kuwa nae nilikuwa na uhusiano nae sio wa kikaribu kwa muda yapata mwaka hivi.
Huyu binti nilimpenda sana tena sana na nilikuwa na mpango wa kumuoa kabisaa.
Katika...
Mtoa taarifa,unasemaje Manzese inaongoza wakati hujafanya utafiti sehemu nyingine.Tena wakati mwingine inaonekana watu hawajui maana ya neno utafiti "research".
Hello wa ungwana,mimi natarajia kuwa tanga siku za karibuni.Nahitaji nyumba ya self contain ya vyumba viwili ya kupanga.Mwenye habari yeyote anaweza nitumia email kupitia joemchina@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.