Hiko kifaru sio scraps?? Nilikuta barabara ya kisarawe kibaha, Jmosi pia nilipita nikakuta mgogoro. Jwtz wanataka watu wahame eneo la mazoezi. Masalia ya kifaru sijakuta.Ni deraya
HOTUBA YA LEMA
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MHE. GODBLESS JONATHAN LEMA (MB), AKIWASILISHA BUNGENI MAONI YA KAMBI YA UPINZANI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA HIYO, KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017...
Katika uteuzi kuna taratibu, majina matatu yalienda ikulu lake likarudi. Costech ilioza ilihitaji changes watu wakarudishwa ktk kazi zao za awali vyuoni.
Hata kama sio mwanasheria mbona nyingi ya sababu zilizotolewa na ZEC zina uwezo pia wa kuathiri uchaguzi wa wabunge na Rais wa Jamhuri?
Ukisema kulikuwa na wapiga kura hewa, nani kathibitisha kuwa hawa walipiga tu kwa Rais wa Zanzibar na Wawakilishi? Mpiga kura hewa si aliingia mara moja...
Ndugu yangu mwana Mikumi, Mimi Jonas Nkya nimedhamiria kwa heshima kubwa kuwatumikia kwa vitendo bila kujali itikadi za vyama vyetu ili kwa pamoja tulete maendeleo ya Mikumi ya Kisasa. Naomba niamini niwe mtumishi wako kwa kunipa KURA yako ya NDIYO tarehe 25 Oktoba.
Wilaya hii ilianzishwa 1922 kabla ya nairobi na morogoro mjini. Wilaya iljumuisha ifakara hadi gairo. Leo ifakara ni manispaa na ina barabara za rami. Gairo ni wilaya. Kilosa hoi ni mji mdogo kama mikumi aibu kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.