Zitto is very strategically ila kuna sehemu nyingine anakoroga hapo hamna uhusiano kabisa kati ya alichokisema Nassari na kilichoandikwa na gazeti la mwananchi. Zitto tuliza nyago uraisi siyo kirahisi hivyo jipange sawasawa ushauri wangu tu huo.
Unatudanganya na kucheza na vichwa vyetu kama...
Hakika hili nalo linaonyesha jinsi serikali yetu imeishiwa kifikra mpaka suluhisho linakuwa hilo.kama kweli ni mkono wa serikali basi pia hiyo damu itawafuata ni muda muafaka wa kusema bye magamba.Ni heri kufa kuliko kendelea kuishi katika hofu na udhalimu wa jinsi hii.
Kwa wanaharakati wote na wapenda mageuzi nikimaanisha kizazi kipya cyo kijacho kama tulivyozoea kauli za chama tawala nikimaanisha wazalendo wa kweli na wapenda nchi yao Tanzania.tatizo tulilonalo sisi watanzania wengi bado hatujaweza kujivunia na kujitambua kama sisi ni watanzania halisi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.