OMBI MAALUM:
Nimeamua kuliweka hapa hili ombi kwa sababu kuu mbili; Yakwanza ikiwa hapa ndipo wana-JF wengi zaidi wanafika ukifananisha na majukwaa mengi na sababu ya pili ikiwa ombi langu linawahusu viongozi wa kisiasa hivyo kama mod ataona halistahili basi anaweza kulipeleka anakoona yeye...
Jamani wana- JF nahitaji msaada wa yeyote ambaye anatumia hii software. Nime-download na ku-install lakini ninatakiwa kuwa na ID na password nitapata wapi? Msaada tafadhali. Asante!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.