Naomba msaada simu yangu ilidondoka kioo kikapata crack
Nikabadilisha kwa kuweka kipya ila camera imegoma
Kabla ya kubadili kile kilichokua na mpasuko kilikua kinapiga kazi fresh tu na baada ya kurudishia kile cha awali bado camera haifanyi kaz
Msaada kwa hilo wadau
Wakuu najaribu kucreate emails kwenye simu ya iPhone ila inazingua kutuma napokea tu.natumia airtel na nimecreate accounts nyingi nazitumia na zote hazitoi emails
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.