Kwani ving'amuzi vya startimes ni mradi wa nani?kwani kwangu kina scratch za kufa mtu na sometimes unasikia sauti bila kuona picha hii nchi naona kila kitu wanafanya dili
Kwa kweli nape umekwisha kifikra sikutazamia umebaki kama yale mavuvuzela ya wakati wa kombe la dunia pole sana.
Huwezi hata siku moja ukajilinganisha na jj mnyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.