Kufanya makosa & Ubaya wa Nyerere does not justify uzuri wa huyu dada,continuing commenting on this imbecile issue is giving her undeserving promo. Comparable to insanity.
Madaraja yalijengwa barabara ya Dar-Bagamoyo ni ya kiwango cha juu, chuo kikuu cha Bagamoyo tayari!, usafiri wa haraka kupitia majini Bagamoyo- Dar tayari!, kiwanja cha ndege Bagamoyo kipo kwenye mchakato nk,nk. Lakini kipande kidogo tu kunganisha mikoa ya kusini bado vumbi
Bagamoyo itakuwa...
Ee Mungu uipoke roho ya mtumishi wako Daudi Mwangosi umpumzishe kwa amani. Mungu wetu, Mungu mwenye uweza na mamlaka, uonaye yote haya tunakusihi usikawie uweza wako ukapate kuonekana.
Nalitafakari hili kimahesabu zaidi:129hectares =318Acres 1Acre= (70M X 70M) = (4900)M2
hivyo basi 318 Acres =(1558200)M2Hii ni sawa na futi za eneo (16772874)Ft2Kwa kuwa mtu aliyefariki anahitaji (3ft x 6Ft) =18Ft2
Hivyo basi gawanya ukubwa wa eneo lote yaani (16772874)Ft2 kwa (18)Ft2...
Kumdhalilisha huyu mwalimu kutokana na uhaba wa kipato uliopo katika fani yake siyo sawa
Swala la msingi ni nini serikali yake hii sikivu chini ya CCM inafanya kuwapunguzia ukali wa maisha watu wa class yake na hata chini yake?
Kitu ambacho JK alikiahidi "Maisha bora kwa kila mtz"
Tanzanian minister January Makamba on the campaign trail. Photograph courtesy of January Makamba
January Makamba is Tanzania's deputy minister for communication, science and technology.
A failure in science a minister for it :ridiculous!ooh sorry amazing! only in Tz inawezekana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.