USISAHAU KUTIZAMA MATOKEO au kupiga KURA ya maoni ya watanzania inayoendelea hadi 24/10/2015 kuhusu nani awe Rais 2015 kwa kubonyeza hii linki hapa chini:
👇
www.mayocoo.com/vote
☝☝
Tafadhari watumie ujumbe huu Watanzania wengine wenye simu yoyote yenye INTERNET AU...
wa pia ziifikie timu hiyo ya kijasusi ya ccm, pili walitaka Zitto apunguze ushiriki katika majukwaa ya chama na shughuli nyingine za chama. Baada ya kikao sasa ulikuwa ni utekelezwaji wa maadhimio yao.
Zoezi la kikao cha tarehe 30/11/2009 linaonyesha kuzaa matunda hasa baada ya kubainika...
Ni kweli hao waliojitokeza na mabango ni vijana wa ccm mmoja wao ninamfahamu anakaa Majengo kwa jina anaitwa Dominiki ni mpuuzi fulani wa CCM pia aliwahi kusimama majukwaani akinadi CCM kata ya Elerai kipindi kilichopita cha uchaguzi mdogo wa madiwani, wanachadema wala msitetereke hao sio...
MIMI NI MUONGOZA WATALII, niko Serengeti kaskazini sehemu iitwayo LOBO, nikiwa nafanya game drive kuna ndege kubwa mithili ya Boeing 737 imetua kwenye kiwanja kilichojengwa na muwindaji MTOTO WA MFALME WA UWARABUNI, eneo hilo lipo mpakani kabisa na hifadhi ya Serengeti. Inasemekana Dege hilo...
Tanzania ni nchi iliyojengwa bila mfumo wa kidini, ni ajabu kumuona huyu shekhe ILUNGA katika YOU TUBE akichochea kikundi chake kipambane na wakristo, hebu wenye kuweza kutembelea hio you tube wataona anachozungumza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.