Kwenye sauna huwezi kunyanduana. Joto la mle ndani linakufanya upumue kwa taabu. Labda kwenye steam room kunakuwa na joto la kadiri na mvuke kwa wingi.
Watu wengi naona wanashindwa kutofautisha sauna na massage. Kwenye sauna hakuna kutomasana viungo. Inshort mwili wako haugusani na mwili wa mtu mwingine kwa vyovyote. We unapata joto tu.
Wote wanawaiga kundi la Canada linaitwa Just for Laughs Gags. Pranks zao ni nzuri, haziumizi mwili wanacheza na hisia tu. Prank za wengine kama una tatizo la moyo inaweza kuwa mwisho wako.
Muhimu kabla hujawekeza pesa zako, hakikisha una knowledge ya kutosha kwanza. Apart from that, tafuta free mining apps ambazo unaona sio scam na zina future nzuri uanze kufanya mining. Hizo ni almost risk free kwa kuwa huwekezi pesa yoyote.
Watu wengi wanaogopa kuibiwa hata sehemu ambayo haweki pesa, wanasema kama huweki pesa basi wataiba data, mostly data zenyewe ni msg za mapenzi tu. Hawataki kufanya utafiti kujiridhisha. Kwa ambaye amekuwa serious na hii programu ya mining toka mwaka jana ilipoanza hakosi mgao wa sh 200,000+...
Ukiona hivyo ujue kuna upigaji, kila mnunuzi anapewa bei yake kulingana na alivyokuja. Mteja mwingine anaanza kusifia bidhaa kwanza ilivyo nzuri kabla hajauliza bei. Unategemea atapewa bei sawa na wengine?
Kama walivyoahidi, Remitano wamezindua sarafu yao ya Renec.
Sarafu ambayo ilikuwa ikipatikana bure kwa kufanya mining kupitia simu ya mkononi sasa ipo sokoni kupitia exchange yao.
Renec iliingia sokoni ikiwa na thamani ya $ 0.1 lakini ndani ya saa 24 ilipanda thamani hadi kufikia $ 3+...
Afrika kusini ndio waliiga wimbo wetu wa taifa. Ni sawa na leo Burundi waufanye wimbo wa Diamond wa nyegezi wimbo wao wa Taifa halafu baadaye Tz na sisi tuufanye wa taifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.