Matokeo yako ya awali ni haya dogo acha kudanganya watu
S0534/0130 M 16 I CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B
link hiyo hapo: https://www.jamiiforums.com/matokeo2012/data/s0534.htm
Nashindwa kukuelewa ndg yangu, mbona mahakama ya kadhi haikuhusu!!!
Mahakama ya kadhi ni kwajili ya waislamu tu na si wengineo. Sasa nikuulize wewe ni muislamu? Bila shaka hapana. Nahisi hata hiyo imani uliyonayo ina mapungufu. Nakushauri ukae kimya kwa yasiyo kuhusu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.