Nenda kwenye settings za simu yako then mobile network, then access point name then unachagua hiyo line na kuset APN ya mtandao husika, ukishindwa piga customer care wakutumie settings
Mimi kumuachia Mungu sipo kabisa mana kama ni kweli aliumba mwanadamu na kumkabidhi milki yote ya duniani ni jukumu langu sasa kumiliki na kutawala yeye kazi yake iliishia hapo
Tafuta mzizi wa ndulele chemsha mpe kijiko cha chai asubuhi na jioni. Pia umchue tumbo na mafuta ya nazi, unayapaka mikonini kisha unaipasha mikino kwenye jiko la mkaa alafu unamchua tumba taratibu na kiunoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.