Nimekua nikisoma thread zenu nzuri na zenye mtazamo wa kujenga fikra pevu ndugu zangu wana jamii na nimekua na kiu ya kujiunga ili namii niwe mmoja wa wanajamii sasa kwa uwezo wa MUNGU nimefanikiwa. Muda si mrefu nitaanza kuchangia baadhi ya mada. Niombeeni. Tuko pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.