Tusichafue watu kwa ajili ya Siasa zetu za kutaka kuonekana,Bodi hii ilichaguliwa June 2015,barua za uteuzi ziliandikwa Novemba 5,wajumbe wakakabidhiwa Novemba 8,walikuwa hawajawahi kukutana mpaka waziri mkuu alipotembelea bandarini na kuibua hoja kuhusu Makontena,ndipo Wajumbe wakalazimisha...
Hiyo ripoti ya wakaguzi ya mdomoni kwa nini wasiichapishe gazetini au wailete jamii forum, hivi unajua taratibu za ukaguzi ndugu yangu, wakaguzi wakikukagua kama kuna mapungufu wanakuambia kisha wanakupa muda wa kuwasilisha documents ili kuthibitisha kuhusu matumizi yako.hivi TBL wangekuta...
Kuacha uwakala jambo jingine, na kudai pesa akijifanya ni wakala huo ni wizi, kuhusu ubadhirifu kika kitu kinajieleza chenyewe amediriki hata kusema TFF imenunua magari hewa, wakati yapo.Kuhusu ubadhilifu anaoudai ni mkataba wa TBL, hivi kuwe na ubadhilifu na TBL na mkataba uendelee tu?acheni...
Ndugu yangu huyu mtu ni hatari sana, nashukuru Ikizu umetutoa Tongotongo, huyu Ndumbaru alijilipa dola 10,000 kwenda kozi ya wiki moja tu Nairobi.amepewa nafasi ya kutia saini akaunti ya bodi kinyemela, kwani idhini ilipaswa kutoka ndani ya kamati ya utendaji ya TFF kwa mujibu wa utaratibu ndo...
Huyu Ndumbaro kwa taratibu za mpira anatakiwa awe amefungiwa maisha, TFF inamlea tu Blatter watu kama hawa tungekuwa tumewasahau, kaleta migogoro Simba sasa anaona viongozi aliowaingiza kwa nguvu karibu washushe timu daraja sasa amegeukia mpira uharibike nchi nzima.tumuogope kama ukoma
Tena mwanasheria Ndumbaro leo kwenye gazeti la mwanaspoti kamtukana Wakili maarufu Jerome Msemwa kwa kumuita kamati yake ni kichaka, jaman hivi hata mfumo wa kimahakama ukishindwa mahakama ya chini unaitukana, huyu hana maadili kabisa, jinsi anavyoongelea watu binafsi kwa masuala ya kitaasisi...
Hayo ni magazeti tu Aveva aandike barua asaini aone kamati ya nidhamu itavyomshughulikia, atulie na mambo yake ya Simba ambapo ni mwenyekiti jina, wanaoongoza wala hawakugombea.
Uwanja wa Kaitaba ni miongoni mwa viwanja vinavyowekewa nyasi bandia, hivyo bwana Mathias Byabato utulie kiwanja kikimalizika KRFA itapata ofisi za kisasa
Wasiomjua wanaweza kudhani ni mwanasheria mzuri, uelewa wake ni mdogo, issue ya okwi hata angeenda mwenyewe angeshinda.mtu makini hawezi kukubali kutetea vilabu kama wakili dhidi ya TFF, wakati akijua kuwa ni mjumbe wa bodi ya ligi chombo kilichopo chini ya TFF.Lakini pia kama mwanafamilia wa...
Kafungiwa na vyombo halali vya TFF vinavyojitegemea ambavyo Rais WaTFF hana mamlaka ya kuviingilia, na bahati njema katiba inasema viongozwe na wanasheria.Na aliyeongoza kikao alikuwa ni wakili maarufu Jerome Msemwa mmoja wa wadau wakubwa wa Simba.Haki imetendeka, na ikumbukwe Ndumbaro aliweka...
Pia anapaswa kujua kwa kufungiwa kwake, wanafamilia wa mpira hawapaswi kumuhusisha katika kesi zao zinazohusu mpira, anaweza tumika kwenye masuala mengine ya uwakili lakini yasiyohusiana na mpira.Maana TFF haijamfungia uwakili wake.
Uwezo wa huyu bwana kisheria ni mdogo sana, hajui ana makosa ya kinidhamu na makosa ya kimaadili, ya kinidhamu ndiyo miaka saba, sasa bado ya kimaadili yanamngojea, pia haelewi maana ya Judicial Organs, hizi ni kamati huru hakuna wa kuziingilia, zinajitegemea hivyo alumbane na kamati siyo Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.