Mwanangu ameliza Form Six mwaka huu na anatakiwa kujiunga na chuo, ili apate mkopo anatakiwa aombe akiambatanisha cheti cha kuzaliwa.
Alikuwa na cheti cha kuzaliwa cha zamani ambacho alikituma RITA kwa ajili ya uhakiki lakini kilikataliwa kwa kigezo kuwa ni cha zamani hivyo aombe kipya...
Agizo la serikali ni kuwa shule za binafsi ziwe na mihula miwili kwa mwaka kama shule za serikali. Baadhi ya shule kama hiyo hapo chini imekiuka makusudi kwa kigezo cha darasa la saba. Lakini ada yao imekuwa juu mno kulinganisha na shule zingine.
Nafikiri kwa Rais kukaa kimya ni silaha nzuri zaidi kuliko kuanza kujikombakomba kwa wanaojiona ni wakubwa. Sisi ndiyo wanaotuhitaji kuliko tunavyowahitaji wao kimalighafi. So mh. Rais komaa wasikuelewe. Wakija wenyewe unawapa masharti kama hataki aondoke
Dr.Slaa nilimuheshinu sana na kumpenda sana lakini kwa matamshi yake haya ya leo, nimejisikia vibaya sana juu yake. Kwa nn hituba yake imemlenga tu mtu mmoja? Inavyoonekana hayo aliyoongea yameandaliwa aje ayaseme ili kuwaaminisha watu. Pamoja na upendo wangu kwako ni lazima nipige kura ya...
Nyumba za kuishi (residential), majengo ya maofisi, magari ya abiria n.k. vinatakiwa kisheria kuwa na milango ya dharura. Hivyo sioni sababu kwa nn ofisi ya mwale isiwe na mlango wa dharura na pia ofosi ile ni kubwa ina vyumba vingi.
Mbona nimesikia shamba alilonunua ni kwa ajili ya machimbo ya mawe na wakati wanafurahia walikuwa kwenye sehemu hiyo. Wakati furaha imezidi kijana akapandwa na mori ya kimasai aliruka juu wakati wa kutua akatua juu ya jiwe.
Amani kwenu wana Jamii forum. Natafuta printer nzuri inayoweza kuprint karatasi za A3 na ya bei nafuu na wino uwe wa nje. Mwenye kufahamu mahali naweza kupata tafadhali. Nipo Arusha.
Polisi hii sasa sifa ccm wakiondo mtabakia na nani!!!!!? Msitumike acheniiiiii!!! Acha kupiga raia hata nyie mkishavua magwanda jioni mnakuwa raia. Msitupige jamanii. Mnatuonea kwani tumechukua cha mtuuuu! Au tumempiga yeyoteeee msifanye hivyo jamaniii!!!! Mungu anawaona...
Wakristu hawakupanga wao siku za Jumamosi na Jumapili ziwe za mapumziko bali kilichotokea ni siku hizo kuangukia mwisho wa wiki hivyo ikawa ni mapumziko. Mbona Christmas inasherekewa siku yoyote. Kwani hiyo mahakama ya kadhi isipokuwepo Waislam wanapungukiwa na nn? Mbona wameishi vizuri na...
Jamani wanaume na wanawake wengi wanafanya uzinzi sana tu ushahidi wa hilo ni matumizi makubwa ya mipira ya kondom inayotupwa kwenye vyoo na utoaji mkubwa wa mimba. Ukitaka kujua ninachoeleza hapa kachunguze kwenye zahanati nyingi wagonjwa wengi wanawake ni wale wanaoenda kutia mimba. Funua ma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.