Nadhani Bank za Tanzania zitakuwa zimezuiwa kufanya miamala ya forex, Nilijaribu kudeposit kwa kutumia card yangu ya Equity na CRDB kwenda hotforex sikufanikiwa, wakati nilikuwa nafanya deposit bila shida.
Vipi kuhusu kodi, Mfano nimenunua matairi ya gari kwa 400,000/= kodi nitalipa shilingi ngapi? clearance ya mzigo mnafanya wenyewe? kuna gharama zozote zinaongezeka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.