Kwa wale ambao wana uwezo kiakili genuinely, inamaanisha wanaweza kupambanua vitu kiutashi zaidi na kama wapo kwenye system ya uhakika basi wana nafasi ya kutoka zaidi.
Mifumo ya nchi inachangia sana kukuza vipaji.
Kuna watu vipanga darasani na wanafanikiwa na wengine sio vipanga darasani lakini wanafanikiwa na vice versa.
Kwa kifupi kuna vitu vingi vya kuconsider when it comes to mafanikio ya kimaisha (pia mafanikio Ni subjective).
Kuna watu wana akili lakini hawajapata opportunities za kuwapeleka...
Ningeappreciate zaidi kama ungediscuss hoja assertively, Unachofanya ni personal attacks na hazisaidii.
Mungu angekuwa na upendeleo, wewe uliyekaa hapo unamtusi ungekuwa na privilege ulizokuwa nazo(pumzi ya bure, etc)?
Kuhusu ‘Taifa teule’ Kama shule ilikusaidia utaelewa concept yake.
Sehemu...
Kumjua Mungu ni hatua ya kwanza ya ‘self-discovery’. Ukishajua ulipotoka, kwamba haupo hapa kwa bahati mbaya(kama atheists wanavyodai) basi vitu vingi sana vitabadilika kwenye maisha yako. World view yako itabadilika na utaelewa kwanini vinavyotokea vinatokea.
Haina ubishi kwamba ukweli...
Usichanganye dini na uwepo wa Mungu ndugu yangu.
Ni ukweli usiopingika kwamba dini Ni moja ya mbinu za kuchanganya watu wasijue ukweli kuhusu Mungu. Hakika asilimia kubwa ya watu wanaoamini kwenye dini hawamjui Mungu wa kweli.
Sitetei dini hata moja maana karibia zote ziko corrupt Bali natetea...
Kuna aina mbili ya “atheists”
1. Wale wanaojua ukweli wa uwepo wa Mungu lakini wanapumbaza wengine kwa manufaa yao binafsi.
2. Ignorant ambao hawajachukua muda wao kutafuta ukweli.
Ikumbukwe kumuamini Mungu sio “blind faith” bali kuna vithibitisho lukuki kwamba kuna intelligent design behind...
It goes deeper than that lakini ndio hivyo people have been blinded. We believe everything we are told without questioning. These people have their agenda to control the world and they are doing it so good with less than important things like social medias. We are obsessed with empty things such...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.