Mzee una akili nyingi sana. Hapa umemaliza kila kitu. Naamini TISS wapo humu wachukue bandiko hili na kumpelekea mzee, kama anashaurika basi hili litakuwa njia pekee ya ukombozi wetu wa kiuchumi.
Kunataarifa zinasambaa kaamba tarehe 6/5/2017 atakutana na kuzungumza na baadhi ya wanachama wa jumuiya ya ccm ya vyuo vikuu nyumbani kwake. Waandishi wa habari nao wamealikwa.
Zipo nyingi sana ila hebu jaribu app inaitwa English grammar in nzuri kwasababu inafundisha tense...vocabulary... Nk pia unaweza kujifunza kwa video fupi fupi jinsi ya kutumia maneno ya kingereza nk.
Kuna app nzuri sana za kujifunza kingereza. Kitu cha kufanya kama umatumia simu hizi za kisasa huwa wanaziita smartphone fungua app store na download app ya kujifunza kingereza no nzuri kuliko hata vitabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.