kila nafac za scholarships nisomapo huwa wanapendelea kutoa nafasi kwa watu wenye first class na upper second class.so mliopo mavyuoni pigeni gpa za juu ili mfaidi hizi nafasi adimu
kuna jamaa aliniambia kuwa kuna njia uzazi wa mpango inaitwa breastfeeding method ambayo mama anaweza kushiriki mapenzi ndani ya miezi 6 baada ya kujifungua na mumewe lakini sharti ni lazima mama awe anamnyonyesha vizuri mwanae angalau kwa siku si chini ya mara kumi na tano hiyo inapelekea...
pole sana ndugu...! ila izo dawa huwa zinasababisha kutokusikia vizur kwasababu nimekutana na viziwi wengi wamepoteza usikivu kwa sababu ya izo dawa ni hatari sana
ualim nowdays umeingiliwa sana,watu kibao hawana sifa ya kuwa mateacher lkn unakuta wanapigisha pindi matokeo yake ndo kupig watot kam wanapig mwizi...! Ata kam wanafunzi wa siku izi wasumbufu waonye kistarabu..utaua ukafie segerea,,,mtu mwenyew unakuta ukoo ndo unakutegemea kiuchumi
mwenzenu ninagarden(nywele) mpaka zinaungana na nywele za chini ....dah napatashida sana nikiyanyoa naona kama yatazidi ivi kibaya zaidi huyu demu niliye naye hapendi kabisa hili garden nipo njia panda sijui nifanyaje jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.