Ni jambo la aibu kuwa wateja wa makampuni ya simu wanafikiri kuwa hizi huduma ni fadhila. Hizi sio fadhila, sana-sana zinaonyesha ni kwa kiwango gani tulivyokuwa tunavunwa kabla ya hapo.
Kwa kila huduma inayotolewa hawa operators wanauhakika wa faida nono. Usifikiri ni fadhila, kwamba eti...
Vodacom imeanzisha huduma ya SUPA CHEKA ambayo wanadai kuwa inakupa muda wa kuongea, SMS na internet bandwidth kwa saa 24.
Cha ajabu ni kuwa unapojiunga kwenye huduma hiyo, bila kujali umejiunga saa ngapi, unatumiwa SMS kuwa utumie benefits hizo kabla ya saa 5:59 usiku. Ninajiuliza masaa 24...
Amani bila kuvumiliana haiwezekani. tuna imani tofauti kwahiyo ni jambo la kustahiana na kuvumiliana.
Kila dini inafundisha watu wake kwamba yenyewe ndio njia pekee ya kufika kwa Mungu. Mimi ninasema busara lazima itumike. Leo tuko hapa kwasababu tumeamua kupuuza misingi ya maisha ya amani...
Mimi ninafikiri Bw. Lusinde anasema kweli... alipanda jukwaani akiwa na jazba... ni kweli kabisa!
Lakini ndugu zangu wakati muafaka wa kujua rangi halisi ya mtu ni au akiwa na "tension/pressure" au akiwa amejisahau. Hizi ndizo nyakati ambazo mtu hujisahau kabisa akasahau tabia za kuazima na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.