lazima mabadiliko--hata kiranja wa darasa hubadilika kila mwaka----acha na watu wengine wakakusanye madaftari kwani nao wanazijua ofisi za walimu zilipo.
wanasiasa wengi hasa watawala wetu wanajua na kufukiri kuwa wako mahali walipo kwa nguvu zao wenyewe na kusahau kuwa muhimili wao ni watu. katka picha hii watu wakiondoka hapo basi huyo mwanasiasa anayetoa hutuba bila woga wowote atapotea milele na wala hawezi kuokoka kamwe.
Hii nchi yangu jamani....kuna watu wengi wana kisomo nao bado wanaangaika kupata kazi za kuwatoa kimaisha. vilevile kuna fani nyingine huwezi kujiajiri lakini ya kwako waweza labda kigumu is how to start business. tuombe Mungu atuondolee giza hili la ukosefu wa ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.