Hakika nimekubali Nape ameanzaa kupoteza mwelekeo kisiasa baada ya yeye jana kusisitiza kuwa katibu mkuu wa CHADEMA ahojiwe na vyombo vya usalama kwa taarifa aliyotoa kwa vyombo vya habari kuwa CCM inaingiza silaha kwa ajili ya kudhuru viongozi wa CHADEMA na kwamba uzee unamsumbu kiongozi huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.