Jamaa katembelewa na Israel mtoa roho za watu,akamwambia leo ndio zamu yako nimekuja kukutoa roho.Jamaa kamkaribisha vizuri,kampa chakula na kinywaji ambacho aliweka dawa ya ucngizi.Israel alipolala jamaa akakata jina lake lilikua mwanzoni mwa list ya majina akaliandika mwishoni.Israel alipoamka...
Kero yangu ni kuhusu wamachinga au wafanya biashara ndogondogo kuzuiliwa kufanya biashara zao.Serikali haina budi kuwaruhusu wafanye biashara zao ili nao wajipatie riziki ama iwapatie ajira..wanawakataza kufanya biashara wakati hawana ajira,je wakiiba?suala hili linanitia uchungu sana,na naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.