Sio kosa,Vp kuhamishiwa account ya mtu binafsi kabla ya kutolewa,kwa nini wasingetoa direct kutoka hiyo account ya vhama ya wilaya bila kulazimika kuzitransfer kwa mtu binafsi? Na km ilikuwa ifanyike hivo, kwa nn hazikwenda moja kwa moja ktk account za viongozi wa Kitaifa.
Kodi zetu zinaliwa na wajanja Jamani,hadi inakatisha tamaa kulipa Kodi. Kwa nini zipite account ya mtu binafsi? Kwa nini zitolewe zote kwa wakati mmoja au mfupi?
Uko sahihi, Mshahara kazi yake ni ubunge, na ubunge kazi ni kuwatembelea wapiga kura na kuwawakilisha Bungeni , sasa Km mshahara wa hiyo kazi upo,posho zingine kubwa hizo ni za nini? Hazikatwi hata kodi!!!
Mh. Maghembe, amefafanua kuhusu Faru John, Mchakato ulianza Mei 2015 na kukamilika 08/12/2015 kabla ya uteuzi wake uliofanyika 28/12/2015. Tax Azam two
Ushauri mzuri lakini umechelewa, umeutoa wakati tayari maamuzi yameshafanywa na mikataba imeshaingiwa nadhani. Km bado, better wazingatie ushauri wako mtoa Post
Unajua tatizo la Wabongo tunakurupuka! Sasa kams jambo limetamkwa na kiongozi wa Juu, gazeti likiandika kutuhabarisha ambao hatukuwepo lina kosa gani? Vzr umemjibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.