Kama ujuavyo wabongo wengi tunavutiwa na maniga wanaokipiga ulaya, mie bana world cup 2002, nilikuwa bega kwa bega na Senegal wakiwa na star wao mtukutu ostaz el haji diof, nilvutiwa na jinsi walivomtoa nishai bingwa mtetezi, sasa Liverpool walivomsaini yule kiboko ya wazungu basi tangu siku ile...
Sisi polisi hatuwezi kuhangaika na mpumbavu anayeshoboka na wake za watu, yaani ni sawa na kibaka akaibe kwenye kibanda cha wauza petrol, wakimpiga kiberiti sie hatuwezi kubugudhi wauza petrol!
Katibu alipaswa kufahamu mke wa mtu ni sumu, kuua ni kosa kisheria lkn kwa hili la masanja, familia ya katibu na vyombo vya sheria wanakuwa wazito kumpambania katibu make ni kama kifo alikitafuta kwa kujitakia, pengine wa kushikilia bango kumtia hatiani comedian, wanajaribu kuvaa viatu vya...
Sio kansa wala usiogope hao ni Candida bacteria umewazoa kwenye eiza madenda au mauvinza, so piga vidonge vya flucunazole ikiambatana na ceptrin kwa muda wa wiki 2 kila siku kidonge kimoja kimoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.