Nyumba inakodishwa, ni two in one apartment zenye vyumba vitatu vya kulala, choo cha ndani, kimoja na cha nje kimoja kwa kila apartment, luku ya umeme kila apartment, jiko, sitting room, feni kila chumba na sitting, floo tiles, parking ndani ya fensi. Maji mpaka ndani.
Kodi kwa mwezi ni Tshs...
Kuna kitabu kiliandikwa na Prof Mwandosya chenye title ya SAUTI YA UMMA NI SAUTI YA DEMOKRASIA.
Nimesoma hiki kitabu mwanzo mwisho kwa ufupi ndani ya hicho kitabu Prof ameelezea hasa issue ya Uchaguzi wa Ujumbe wa NEC na njisi walivyo mpiga vita sana wana ccm wenzake 2007.Mimi nataka kujua faida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.