Nikupe idea ingine papo hapo - kama Kuna Boda Boda kijiwe around hapo fanya hivi ku-ongeza idadi ya wateja: Waambie wakikuletea idadi Mteja akanunua tray mfano 10 ana buku lake... (Kila tray faida jero - ukitoa buku kumbuka kuwa yule Mteja next time atakua ameshapafahamu dukani tayari una...
Mimi nauza MAYAI pia na ndio yanaboost mzunguko wa biashara. Tafuta sehem karibu na frem wanapouza bidhaa zingine za jumla (frem isiwe kubwa kusave cost) weka mayai uza JUMLA. Fuatilia soko la kila siku bei inabadilikaga (katika kila Mkoa Kuna kuaga na mwamba mmoja always ana control bei ya...
Naongezea, duration ya mayai ni week 3. Isizidi hapo. Kama alivyosema mdau, tafuta penye mzunguko wa watu - wateja ikiwezekana wafuate pia wakufahamu, mayai yawe makubwa.
Hapo kwenye mahitaji ya nyumbani penyewe kwa 3mil atafute tu frem isio bei mbaya, atafanya biashara.... Mahitaji ya nyumbani au bidhaa zinazohitajika kila siku ni biashara nzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.