Nawapa heshima ya juu sana mbowe na maalimu seif kwa kujitoa na kupigania mabadiliko
Kutokana na hali ya siasa na uchaguzi inavyoenda imeonesha MBOWE na MAALIM SEIF ndo walikuwa WAPINZANI wa kweli wa CCM, hii inadhihirika kwa KUWEZA kuwahundua na KUWAEXPOSE mamluki wa KITENGO ndani ya upinzani...
Niwapongeze wasanii Aunt Ezekiel, Jackie Wolper, Shamsa ford na Nay wa mitego kwa kuunga mkono mabadiliko katika nchi yetu.
Si jambo ndogo kuacha rushwa na vitisho vya CCM na kuunga mkono mabadiliko, inahitaji uwe strong, uwe mvumilivu, ukubali kuona wasanii wenzako wakimwagiwa marushwa na...
Ushauri kwa UKAWA na LOWASA jinsi ya kufanya kampeni, na usimamizi wa kura ili waweze kushinda uchaguzi na hatimae TANZANIA kupata mabadiliko ambayo yanasubiriwa kwa hamu.UKAWA na LOWASA ndani ya wikii hii wameonesha tofauti kubwa ya kufanya kampeni za kisayansi na za kisasa, hasa kwa kutumia...
Nimemuangalia Magufuli akiongelea kuhusu masuala ya afya na kutoa ahadi mpya nyingi, mimi kama mdau wa afya ntaongelea kidogo hili jambo.
-Kwanza Magufuli na viongozi wengi hasa wa CCM, wanaonekana maswala ya afya na matatizo yake hawayajui kwa undani, na huongea mambo ambayo kwa kweli huyasikia...
Nimeona taarifa ya kubenea kutoka CHADEMA BLOG kwamba kuna shahada feki zaidi ya milioni 2, ambazo zinasemekana zimetengenezwa na tume kwa ajili ya kiziingiza na kuingozea kura ccm. Na pia anasema zaidi ya asilimia 70 ya vijana hawaoni majina yao kwenye orodha na kumbukumbu za tume...
Chadema ni chama ambacho kina wafuasi(sio wanachama) wengi hasa vijana lakini nasikitika kwamba kisipokuwa makini kitashidwa uchaguzi wa serekali za mitaa vibaya na hata ule mkuu mwakani sababu naona chadema haiangaiki kabisa na swala la wapiga kura na maswala yote ya kura, chadema tumesahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.