Imagine,wanapiga picha za wamasai,wanazipeleka kwao kuonyesha ni jinsi gani tuna shida,wanachangisha fedha za kutosha ambazo hatujui ni kiasi gani,halafu hapa tunapigwa "changa la macho" kwa kupewa kiasi kiduchu. Ndugu zangu wamasai mmegeuzwa mtaji wa wazungu. They are here doing nothing,most of...
Ndugu wana JF,
Ninakerwa sana na hawa wazungu wanaokosa kazi kwao na kuja Tanzania na kujidai ni ma-exparts katika taaluma ambazo hata sisi wazawa tunazijua tena kuliko hata wao. Wengi wao wanakuja kupitia mashirika ya dini,na kujaribu ku-penetrate kwa kujidai kama vile ni madaktari,maofisa...
Hawa Jamaa mbona wao wanamiminika hapa kwetu kama mvua za masika? Tembelea mitaa ya karikoo uone jinsi wanavyofanya Umachinga halafu huku kwao wanatuona sisi ni Social Undesirables!!!! Wanatukatalia hata kuingia kwenye baa zao wakati sisi tunawakubalia kuwa mabosi wetu. Stupid!!! SOMETHING HAS...
Anyway,English is just the language but not the knowledge. BAKWATA can give us its views even by using our national language.Si unajua wenye lugha ya kiingereza wanaitwa makafiri!!!!!
Ni kweli kabisa,tafadhali muwe na upeo wa kuchanganua mambo,hapo hajasifiwa"positively" bali ni "negatively".Sidhani kama kusifiwa uzembe,kulea ufisadi ni sifa nzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.