sijui kwa nn moderators wanakuacha mtu kama ww, unaandika utumbo hadi mtu anaamua kukujibu, hivi kichwa yako inafikiria nn? kwa kweli akili yako ni matope kabisa, huna tija...
kaka wananchi bado hawajaelewa nini chanzo cha matatizo yao, bado wana imani na chama cha ccm ambao nao wanatumia imani hiyo kuwatenda wananchi vibaya, CDM na vyama vingine pinzani kazi yao ni kuwaelimisha wananchi kadri wananavyoweza na kuwaeleza madhara ya ccm, kdg kdg wananchi watawaelewa na...
kwa chalinze sio rahisi kwa wapinzani kuchukua jimbo hilo, hata kama wananchi wanataka mabadiliko kutokana na uhalisia, kwanza ndilo jimbo ambalo anatoka mkuu wa kaya, halafu mwanae ndiye anayegombea, tusitegemee miujiza itendeke hapo hapo...
wameshachelewa sana, bora wamalizie tu, mchakato mzima ulikuwa na kasoro nyingi tangu awali, na wenye akili waliliona hili na wakatahadharisha mapema, wanasiasa wakashikina mikono wakasonga mbele, leo wanageuka tena... harakati za ukombozi zitaletwa na wananchi na wala sio wanasiasa au chama cha...
hayo wasema ww, sijawahi kusikia wamepigana au la, watu wapo pamoja siku zote, hakuna ukabila isipokuwa wa kisiasa, na unaolazimishwa na nyie mnaodhani mtakaa siku zote madarakani, poor minds!
ukabila wenu mnaoulazimisha hapa na kwingineko, ipo siku utawatokea puani, wenyewe wa kaskazini hawana ubaguzi na wanakula bia na kila mtu kitaani, nyie majukwaani kila siku kelele za ukabila na ukanda, Mungu anawaona!
wanasiasa hawawezi kuwasaidia wananchi ktk hili, isipokuwa wananchi wakiamua wenyewe, lkn kama wananchi wataendelea kuwashangilia wanasiasa kila wanapoawaona kwa sababu ya rushwa ya ubwabwa, tshirt, na kanga, basi maandamano hayo hakuna, na posho hii itaizinishwa, na watalipwa. Mabadiliko ya...
mabadiliko hayataletwa na vyama au mtu mmoja mmoja, bali yataletwa na wananchi masikini ambao wamenyonywa kwa muda mrefu, wakiungana, na kutambua hali duni inasababishwa na chama dhalimu. Mabadiliko yanaweza kuja hata nje ya chama cha siasa. Wananchi wakiamua. itakuwa.
hii jamiiforums nayo inaendelea kupoteza dira kila ukicha, moderators sijui mnafanya nini? badala ya kuondoa nyuzi kama hizi, manaziacha makusudi kabisa. kwa nini lakni?
huyo mwanzisha mada anavyosifia hilo taifa la isarel, wakati hao wayahudi wenyewe wanadharau sana rangi na mataifa mengine, hata kujichanganya nao hawataki hata kama urafiki wa kawaida tu, hawataki... Taifa la mungu la ubaguzi kwa wanadamu walioumbwa na mungu huyo huyo, kweli maajabu haya..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.