Mkuu unaweza kuthibitisha ama kuleta ushahidi kwamba Jakaya Kikwete anahusika katika kupanda na kuchochea udini?. Si hekima kusema neno bila ushahidi. Ukimya, ustaatabu na uvumilivu wa Jakaya Kikwete usitumiwe vibaya.
Viongozi wetu wanafanya haya yote makusudi kabisa kwani wanajua watanzania watasema na kuyaacha. Dawa yao tungeanza kuwatenda kitu mbaya kila wakati tupunguze maneno. Ninawangoja wafike muhimbili kwenye kitengo changu.
Tatizo ni vibali na wala si pesa. Vibali vinatolewa na serikali na bila shaka serikali haiko tayari kutoa vibali hivyo kwa Chadema kwani moto wa chadema unajulikana. Clouds na Itv wanajua hilo ndiyo maana wanajikomba kwa serikali ya CCM wamekubali kuwa watumwa. Cha kufanya ji kuanzisha TV na...
Mkuu Pasco with due respect naomba kutofautiana na wewe kwenye hili suala.
Watu wa Mtwara hawazuii gesi isifike Dar na sehemu nyingine za Tanzania. Wanachotaka ni kile walichokuwa wanakiomba miaka nenda miaka rudi. Wanataka kiwanda kijengwe Mtwara ili nao wapate ajira na maendeleo mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.