kweli,kama sio juhudi za wananchi yule jamaa angewapa kidogodogo wale polisi namchezo ungeishia palepale.kweli umoja ni nguvu na huyo tajiri anatakiwa kujua uhai ni bora kuliko mali,na kama sio juhudi za wananchi wale angekua ashaimbiwa parapanda,heshima ni jambo la hekima na uheshimu kila mtu.
Chadema tuna kuja huko kuwaamsha na kuonyesha njia ya kupata haki yenu.Hawa magamba bila kuwaketea mtiti wa maandamano hawaeleweki kamwe.HAKI INAPIGANIWA HAIOMBWI
Inanikera sana na watanzania pia wanakereka na kuumizwa na hizi safari za kila siku za raisi.ninachojiuliza ni nini kazi ya waziri wa mambo ya nje ikiwa kilasiku raisi kiguu na njia.au ndio tafsiri ya kua amekosea kuteaua mtu stahiki anae cover hiyo position kikamilifu??ina ashiria nini kwa...
Jamani mwenye uthibitisho na hili tetesi tunaomba afunguke zaidi kwani kwani kila unaeongea nae anakwambia ndio ni kweli,sasa mwenye uhakika na detail za kutosha tunaomba amwage hapa jamvini.
Ni mfanya biashara halali anaelipa kodi ndio maana anafanya vitu bila kificho wala woga.angekua na doa ungeona tayari magamba wameshaanza kumfuatilia na kumzushia kua halipi kodi.angalia mzee ndesa pesa anavyo wachana live kua anapesa,hajifichi anasimama live na kusema niiteni ndesa...
Sidhani kama kuna uhuru wa mahakama kwa stahili hii.hasira waliokua nayo watu wa arusha hakika watu watapiga kura ya hasira kwa maana yakua hata alikua mbali atafunga safari kuja kupiga kura.hukumu iliyopita hakika ni hukumu ya ccm sio mahakama.arusha daima ni ya chadema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.