Wewe ndo unapaswa uwe na hoja za msingi. By the way Samatta alistruggle mwenyewe mpaka hapo alipofikia,wewe ulimsaidia nini? Au ndo ule umbea na kutafuta kiki za kipuuzi ili uonekane unajua kuchambua soka? Kama wewe unajua mpira kuzidi Samatta kaombe namba kikosin tukuone uwezo wako. Sio...
Roho mbaya,husda,chuki na wivu ndo vijana wengi wa Tanzania tunajua.Kwanza wakati anahangaika mwenyewe hakuna hata aliyemsaidia leo kawa maarufu basi kila mtu anajidai kumkosoa huo ndo unafiki mim siupendi.
MTU anayemponda Samatta ukimwambia yeye acheze utafikiri unaangalia futuhi. Wabongo tuna tabia ya kuponda na kuwa na negative mindset. Ndo maana Mimi hata biashara ya urafiki nilishaikataa muda sana. Naona unafiki tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.