Huna uwezo wa kuwaharibia kazi madaktari. Unataka wakung'oe jino huku wanakuchekea ili iweje? Hukawi kudai wamekuambukiza TB kwa vile waliacha mdomo wazi wakati wanakuhudumia
Tatizo ni hiyo Maendeleo ya Jamii hapo, community development, inahusika na kuinua uwezo wa wananchi,.mikopo,.kuwashawishi wabadili hali zao za kiuchumi mfano kuuza ng'ombe na kujenga nyumba bora, kuunda vikundi vya uzalishaji mali, n.k. Sasa kuipeleka afya, haileti mchanganyiko mzuri. Ikumbukwe...
Kwa Kabangila, haikubaliki, ila kwa Ndugulile, Kigwangala, Mwinyi, Seif, Sarungi inakubalika kuacha udaktari!
Halafu unakumbuka wkt wa Mgomo Rais alisema hawezi lipa mshahara wanaotaka madaktari, na kwamba watafute Mwajiri mwingine anaeweza kuwalipa?
Kwa taarifa yako, 40% ya madaktari hawatibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.