Kuna mtu kasema uweke N ukiwa kwenye Jam au Foleni,hii sio sahihi kwasababu gari linaweza likarudi nyuma au kwenda mbele uuka gonga gari lingine,kwasababu gari linakuwa Free kutegemeana na slope iko upande gani,kwa gari ndogo una weza ku tumia N kama upo kwenye tambalale au mteremko usio...
Balaza nimeonana nalo leo,kwa nature ya huu mgogoro,wameniambia nikiwaletea barua toka mahakamani,wao wana maliza na divorce maana hili liko wazi,hakuna suluhu...
Jamani vepee?
Mi nisha ya anza,ushauri kutafuta sehemu utulize kichwe nimeukataa,leo nisha timba kanisani na mahakamani,kuna tararibu tu zitanichelewesha za kikanisa ila talaka inamuhusu huyu...
Kweli mme ni under value sana kwa hili wanaume wenzangu...
Any way ndo challenge za jf,nawasikiliza.
Ila my last point,no maneno mengi.Its over nacho hitaji wenye uzoefu,talaka na process vipi,sisi wakristo nahisi ina mlolongo kidogo...
Unajua maana ya ukimwi wewe?,alafu kama kweli wewe ni dr huwezi nishauri kitu kama hicho.
Fuatilia post kuanzia mwanzo,nilikuwa tayari kusamehe,mke hakuomba radhi kwenye kikao na tulipo rudi home,akaniambia haachi kamwe,leo red handed nimemfuma guest kitandani,unataka nini tena?
Last week nilipost tittle iliyo kuwa ina sema. Mke wangu ananifanyia vituko ili tuachane
Hii ilitokana na kumfuma na sms za kimapenzi na wanaume wa 2 tofauti.
Ukweli nilishindwa pata muafaka nae,nikaita watu wazima tena wanao tujua toka uchumba,nina ndoa nae ya miaka 8 sasa.
Nilitoa yangu ya...
Leo kwa kutumia upelelezi wa hali ya juu,nimeanza kuwasaka saa nane mchana,hatimaye saa 2 nimewafumania guest fulani,nimempiga sana,mwanaume amekimbia sana...
Hatimaye yule mwanamke nimemfumania live leo guest akifanya yake na yule yule Baba niliye kuwa namhisi na sms zake.
Nimefikia maamuzi ya kumuacha rasmi na kumuachia kila kitu.
Taondoka na nguo zangu na vyeti vyangu vya taaluma baaas.
Kweli ndoa ni msalaba,leo nimeamini...
...
Hujanielewa kk,kuna mtu ali post kuwa nimfukuzie mbali,nikawa namjibu kuwa ni nguvu kumfukuzia mbali kwa sababu hapa tulipo jenga pana mchango wake,labda mimi ndo niondoke...
Na ninaanza kufikiria hili la kuondoka ndio utakuwa muafaka...
Maana soon tampasua mtu atakapo zidisha dharau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.