Napenda kutoa malalamiko yangu katika hii tume inayoitwa Public Service Recruitment Secretariet. Nimefanya interview hivi majuzi. Wakati wa interview wamegawa vibahasha. Eti tuweke simu ndani na kuzima. Kumbe wao walikuwa wanataka tuweke pesa. Kuna watu wamepata kazi na wakaniambia wao...
Ahsante kwa taarifa. Nnavyojua mshahara wa hakimu wa mahakama ya mwanzo ni Kurogwa, kutupiwa majini na kama ndo huko shinyanga kukatwa mapanga inapobidi. Hii sio kazi. Bora ukae zako hapa town na kuuza Kahawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.