Kawaida ya vipofu ni kusifia hata yasiyostahili kusifiwa! Huo ni wajibu wake, alafu umeona mahesabu ya Ikulu na ofisi ya waziri mkuu hayakuwekwa wazi; unafikiri hakuna wizi huko?
Mtaona povu lao litaishia wapi! Mnakumbuka povu wakati wa ngeleja? Bado anakula kuku kwa mrija! Waacheni vichaa wa ccm waseme maneno kama walivyozoea wala msitegemee chochote hapo, maana hao wanaochangia pia wametoa ahadi lukuki kwenye majimbo yao na hakuna chochote, je wanyongwe?
Mtu mwenye akili ataoanisha haya matukio na kuyaweka pamoja: Milya, Lowassa kutoa neno kesho, madiwani kuomba msamaha! Mpango wa kuhakikisha ngome ya CHDM Arusha inavunjwa kama si kubomolewa ndo huo unakaribia kupata jibu. Haya yote haiwezekani yakaja mara moja na yanaonekana kuiinua CDM, hapa...
Mi nasemaje KATUMWA HUYO! Mtindo wa akina wassira, ole wenu CHDM kama hamtaliona hili zengwe mkaingia kichwa kichwa mtachanwa chanwa ovyoo! Huyu mtoto ni mwaminifu kwa EL na sasa anaanza kutumiwa ili kuihujumu CHDM. Mtakuja niambia kama atapokelewa tu kwa furaha bila kuangalia kwa undani wake
Mi naomba nichangie kwa kuzingatia utu kuliko jinsi wengi mnavyoonekana mnajua sheria. Mimi ni mgeni JF lakini kama vile wengi hamfikirii sana: Hivi mtu kuwa na under 18 ni kitu cha kusifia? Alafu kwa kawaida kama mtu yuko under 18 tunaamini hata uwezo wake wa kupambanua mambo ni finyu...
Imekaa vizuri mkuu. Hawa watawala wetu wanalazimisha wanachokitaka kiwe hata kama ni kinyume na haki. Lakini usihofu, Mungu yupo anayaona haya na atatenda yaliyo mapenzi yake.
Kama mnamzungumzia Abdurahaman Kinana mnatania, huyu kaiba machine ya kufua nguo ya MT meru hospital na kuiweka kwenye dry cleaner moja hapa Arusha (FALCON)! Kauza loliondo kwa urafiki wake na mjeshi mwenzake wa uarabuni! Mengine mnajua bana mi naishia hapa
Nape akili huna, ndo maana unaweza toa maneno ya ovyo namna hiyo! Wizi unaofanya hapa manispaa ya arusha na wakubwa kupata mafungu huzungumzii, unasema utalii ulikuwa umekwama! Mungu akusaidie urudishiwe hekima
Haujatulia wewe! Kila siku majina yanatajwa, akina mohamed na wenzake wewe uko wapi? Unajidhalilisha bure kutoa maelezo marefu kumbe hakuna chochote cha maana unachoeleza. Hata polisi kwa taarifa yako wameshakamata baadhi ya watu. Acha ujinga
Wewe ungehitaji ushahidi wa mtu wa pili badala ya mhusika kamili? Mbunge Kiwia amethibitisha hilo waziwazi kwenye vyombo vya habari akihojiwa live, na hata mbele ya mkuu wa kituo walichopelekwa pale mwanza baada ya tukio. Alisema "Polisi walifika na kusimama pembeni na silaha za moto...
Kitendo chaa polisi kusimamia kikamilifu zoezi la kujeruhi wawakilishi wa wananchi (wabunge wa Mwanza) ni nini kama si kudhihirisha uhuni wao? Hii ni sawa na kusema serikali ni wahuni maana wanayajua haya yote
Anaposema ccm haijagawanyika/haina mpasuko bali wabunge wake wana tofauti ana maana gani? Kwa Bana ccm ni jengo la mtaa wa rumumba au? CCM ndo hao anaowaita wabunge wenye tofauti na si matofali yaliyojenga makao makuu ya chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.