Search results

  1. K

    Hongera Captain Hilda Wendy Ringo

    Hongera hilda
  2. K

    Tujihadhari na yaliomkuta Patrick Mafisango

    Mungu ampumzishe kwa amani
  3. K

    Hapa Mwanza hii ni kero!

    Pale pamba road naona kumesuswa kabisa n muda sasa mkandarasi yuko kimya inasababisha foleni kubwa pale njiia panda ya bugando,a.k,a kwa kishimba
  4. K

    Baada ya kuondolewa Uwaziri, Ngeleja akamuombe Msamaha mlinzi wa benki aliye mfukuzisha kazi

    Hapa patamu, sijui mke wake hoyce temu analiajee sasa hivi, maskini uwiiiiiii, na kazaa nae uyo ruby ngeleja........ Amezoea kutembelea W NM sasa T 000 BZZ
  5. K

    Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

    Sinza kwa remmy, muimbaji remmy ongara, sinza makaburini kuna makaburi, sinza vatikani kuna bar, sinza kijiweni kulikuaaga na kijiwe, sinza madukan inajieleza yenyewe
  6. K

    CV ya John Mnyika

    Ha ha haaaaaa dogo ni jembe,analima hadi majarubani
  7. K

    Diamond am-diss Bob Junior Live KTMA

    Ha ha haaaaa wanausafi gani, huo wimbo bila alikiba si lolote.... Kama wimbo wa lawama shilole na qchilla,qchilla kafunika
  8. K

    Mpoki...

    Demu wa survey anaulizwa unasoma naso mliman, unasomea nn veta, unaringa unaishi sinza maji yanatoka mara moja lol! Kwa wiki
  9. K

    Makabila yetu: Vijana na wanawake wa Kisukuma

    Uko sawa kabisa wanaume weng wa kisukuma akipata msichana mkali mbona anababaika ili aonekane nae yuko tayari kumpa ata gari nyumba, wana msemo wao mmoja noo shida noo tabuuu
  10. K

    Hivi mapenzi matamu ni lazima fedha kiwe kigezo kwa kinadada

    Naona wimbo wa single boy wa alikiba unahusika hapa
  11. K

    Nifanye nini? Mke wangu ameijua user name yangu ya JF!!

    Badilisha user name na uwe unasign oua kabisa usijiweke majaribuni
  12. K

    Mkanye mkeo nakwambia!

    Hapana angekua very reasonable angekuja kwa ustaarabu kukuambia ila uyo ni mharibifu, na plz dont take her words
  13. K

    Why handsome men make bad husbands?......

    Mwanaume akijijua ni mzuri ni headache sana mi handsome wa nn?? Mwanaume kila ukipita nae wanamgeukia!!hapana jaman
  14. K

    Having sex on the first date

    Kaka inaonekana hukuonyesha sana ujuzi ile siku ungepiga kazi kikweli mtoto angekaa sawa kabisa next tym angekupa mzigo, iyo siku ya 2 akikupa mzigo jitume sana ndo heshima iyo ya mwanaume
  15. K

    Kama Buzi linakuzimia basi likuhonge haka kakitu kadogo tu, kama limeshindwa gari hata haka??????!!

    Kuhongwa yanatokea puani make ukipewa iyo ipad na ngoma juu, make upewe iyo ipad jamaa atataka kavu na engine ya vokswagen lol.......... Kueni makini
  16. K

    natesekea mapenzi

    Kumbe ata wanaume hua mnaumia i didnt know that, uyo dada bora akuambie ukweli ujue moja kabisa unaumia mara moja unasahau,japo itakua ngumu, unajikaza kiume
  17. K

    Huyu kweli ananipenda au ananichuna tu?

    Mmmmh kwa sisi tunavyojijua wasichana huwezi kukaa bila kumjulia hali mpz wako ata siku moja uyo atakua anakupendea pesa na kumaliza shida zake ndgndg
  18. K

    watu wa mwanza mpooo!

    Karibu mza sisi ndo wazawa wa bmc miaka iyooooooo,....... Napatika capripoint
  19. K

    Wanafunzi Walawitiana

    Watoto wa shule zetu za kata wanasoma kwenye mazingra hatarishi sana......uko boarding nako hali ni ile ile, zaid ni kuwaombea watoto wetu wajitambue kua wao ni jinsia gani si unaambiwa geuka nyuma lala unalala tu hatari sana
Back
Top Bottom