Guys... Msifasiri taarifa za kitaalamu kwa mihemko.
United Republic of Tanzania : United Republic of Tanzania: Fifth Review Under the Policy Support Instrument-Press Release; Staff Report
Sioni mantiki ya mapovu ya UKAWA.
Kama Mbowe anajibatiza kuwa ndiyo tume ya uchaguzi kwa kuchukua jukumu la kutangaza matokeo kabla ya tume yenye mamlaka kisheria hakuna haja ya kupiga kura basi.
Watanzania wataaminije kuwa anachokitangaza ndicho ama sicho.
Naaamini kauli zilizotolewa leo...
Nimesikia kuna maoni ya watu yalitiwa kapuni na tume ya Warioba. Baadhi ndo hao wanaokwenda bungeni sasa. Sina hakika kama kanuni au sheria zinaruhusu ama la.
Siyo kiarabu hicho. Ni lugha ya kishetani inayoeleweka kwa mashetani wenyewe na baadhi ya wachawi wanamezeshwa. Ni km inayotamkwa na watu fulani ktk maeneo yao ya ibada ambapo hudai ni roho mtakatifu... washoboro wanshibeda...na mengineyo
Gazeti gani mkuu... Mbona nimesoma mwananchi la leo ukurasa wa 3 waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa kasema hakuna mpango huo. Nanusa harufu ya upotoshaji hapa wakuu...
Mi mbona kila nkiipiga siipati!? Naufananisha na ule uzushi wa mwaka jana miezi ya august hivi... Sasa umejirudia tena.
TCRA nadhani mna jukumu la kuutolea ufafanuzi uzushi huu.
Imekuwa ni kawaida sasa hata siye tunaorudi saa 5-6 Usiku kukuta foleni kubwa hadi ikulu.
Asubuhi ukitaka kuvuka na kigari chako lazima udamke ama sivyo ugomvi na bosi kila siku.
Usikute mvua imesababisha mashimo hadi baharini kama ilivyo kwa barabara zetu...
Ni mzuri sana kwnye kuhoji hasa masuala ya kisiasa na uchumi. Umakini wake namfananisha na Salim Kikeke wa BBC.
Mwepesi kujifunza, alikuwa na tatizo la L na R alipokuwa anaanza kutangaza Star Tv. Kwa sasa yuko vizuri saaaaaanaaa.
Naamini ni miongoni mwa watangazaji bora wa kike Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.