Mwana wa Mungu dunia ya sasa kila kitu kinachoendelea kimeandikwa kwenye biblia ivyo mtazame Yesu wewe pale msalabani alikufa akafufuka akapaa mbinguni amekaa mkono wa kuume akituombea ivyo dumu kusoma neno biblia kaa kwenye utakatifu tumepewa njia mbili za kuchagua ufalme wa Mungu aliye hai na...
Ndio somo lako ni zuri hila ninachotaka kusema Ndoa inatoka kwa Mungu Na ndoa inaanzia Rohoni, Na vijana walio wengi hawataki kumtanguliza Mungu katika kuoa au kuolewa inatakiwa kumuomba Mungu akupe mume/mke mwema kutoka kwake ukitapa mume/mke kutoka kwa Mungu hutokaa hujute na ndoa yenu itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.