Search results

  1. MjajaroKaterero

    Tujipange kugawana hao Mapacha wa Chuo cha Ardhi wenye skendo ya kufanyiana Sup ya Hydrology

    https://www.jamiiforums.com/threads/mapacha-waliokiri-kufanyiana-mtihani-chuo-matatani-chuo-cha-ardhi-wasema-wanachunguza-suala-hilo.2191785/
  2. MjajaroKaterero

    Ni kama tumekuwa fooled kusahau kuwa UKIMWI bado upo

    Stop fornication... Condoms ni sawa na chanjo ... nothing less, nothing more...
  3. MjajaroKaterero

    Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

    Kwani Manara alishawahi kuwa na NDOA?
  4. MjajaroKaterero

    Vituo vya Chapati na Mihogo ya kukaanga ndiyo uchumi mpya wa Dar es Salaam?

    Chapati 1 + Maharage + Juice ya Miwa = 1500/=
  5. MjajaroKaterero

    Ni kwanini wilaya ya Kigamboni maendeleo yapo taratibu sana?

    Ushirikina mwingi na ukosefu wa maji safi na salama
  6. MjajaroKaterero

    Njiapanda: Mzee anataka turudi kijijini wakati mama anataka tubaki mjini

    Kama mke hajastaafu au ana biashara zake na haki ya kubaki mjini, otherwise mshahuri mzee amwache mke mjini.
  7. MjajaroKaterero

    Ngono ndio chanzo cha umasikini wetu wanaume

    By "rule of inference" the so called kipato kikubwa anahonga kwa kuzidisha mara 10 ya 80k ie 800k, 8,000k, etc
  8. MjajaroKaterero

    Tumalizie charge kwa kutaja nyimbo za kibongo 5 ambazo ni "TIMELESS"

    Napenda nipate lau nafasi ya KILWA JAZZ
  9. MjajaroKaterero

    Kwa waliochanja Chanjo ya CORONA Njoni mtoe uzoefu Ili tupime ufanisi.

    Mimi nililaImkika kuchanja kwa kuwa nilikuwa na safari nje ya Tanzania kwa hiyo sikuwa namna. Ukweli ni kwamba hakuna madhara yoyote niliyopata au nayapata. Nina miaka takribani 15 sijawahi kwenda hospital kwa tatizo lolote la kiafya
  10. MjajaroKaterero

    Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi

    Tupo na wazee kama mimi hapa jamvini!!! Je? Hassan Moyo alikuwa na uhusiano na Nassor Moyo?
  11. MjajaroKaterero

    TANESCO: Dar es Salaam kuanzia leo Februari 23 hakutakuwa na mgawo

    Huku Bunju wamechukua muda huu.. saa 3 na dk 48 tarehe 23 Februry 2024
  12. MjajaroKaterero

    Mliopo kwenye ndoa mna kazi sana

    Umasikini wa AKILI + KIPATO unafanya vijana kuwa masikini zaidi wa KIPATO na AKILI....
  13. MjajaroKaterero

    Kundi jingine linalojumuisha watu wajinga ni mashabiki wa mpira wa miguu

    Wewe pia unaongeza idadi ya wale wenye magonjwa ya AKILI... Unapomchukia na kumtusi binadamu mwingine ambaye yumkini humfahamu wala hujawahi kumuona tambua kwamba unahitaji ushauri na tiba ya ugonjwa wa akili Jioni njema Kesho ni Simba SC dhidi ya ASEC
Back
Top Bottom